Yoshua 9:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na sasa tupo hapa, mkononi mwako. Basi kama unavyoona kuwa ni vema na sawa machoni pako kututendea, tutendee hivyo.”+ Yeremia 38:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa hiyo Mfalme Sedekia akasema: “Tazama! Yuko mikononi mwenu. Kwa maana hakuna jambo lolote ambalo mfalme anaweza kuwazuia ninyi.”+
25 Na sasa tupo hapa, mkononi mwako. Basi kama unavyoona kuwa ni vema na sawa machoni pako kututendea, tutendee hivyo.”+
5 Kwa hiyo Mfalme Sedekia akasema: “Tazama! Yuko mikononi mwenu. Kwa maana hakuna jambo lolote ambalo mfalme anaweza kuwazuia ninyi.”+