6 Ndipo Abramu akamwambia Sarai:+ “Tazama! Mjakazi wako yuko chini ya mamlaka yako. Mtendee yaliyo mema machoni pako.”+ Basi Sarai akaanza kumfedhehesha hivi kwamba akakimbia kutoka kwake.+
15 Lakini wana wa Israeli wakamwambia Yehova: “Tumetenda dhambi.+ Wewe mwenyewe ututendee kulingana na lolote lililo jema machoni pako.+ Lakini tafadhali, utukomboe tu leo hii.”+
14 Kwa hiyo Daudi akamwambia Gadi: “Ni jambo lenye kunitaabisha sana. Tafadhali, acha tuanguke mkononi mwa Yehova,+ kwa maana rehema zake ni nyingi;+ lakini usiniache nianguke mkononi mwa mwanadamu.”+