Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 16:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo Abramu akamwambia Sarai:+ “Tazama! Mjakazi wako yuko chini ya mamlaka yako. Mtendee yaliyo mema machoni pako.”+ Basi Sarai akaanza kumfedhehesha hivi kwamba akakimbia kutoka kwake.+

  • Waamuzi 10:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lakini wana wa Israeli wakamwambia Yehova: “Tumetenda dhambi.+ Wewe mwenyewe ututendee kulingana na lolote lililo jema machoni pako.+ Lakini tafadhali, utukomboe tu leo hii.”+

  • 2 Samweli 24:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa hiyo Daudi akamwambia Gadi: “Ni jambo lenye kunitaabisha sana. Tafadhali, acha tuanguke mkononi mwa Yehova,+ kwa maana rehema zake ni nyingi;+ lakini usiniache nianguke mkononi mwa mwanadamu.”+

  • Yeremia 26:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na kwa habari yangu, tazama, mimi nipo hapa mkononi mwenu.+ Nitendeeni kulingana na yaliyo mema na kulingana na yaliyo sawa machoni penu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki