Methali 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Jibu, linapokuwa la upole, hugeuza ghadhabu,+ lakini neno linaloumiza hufanya hasira ipande.+ Methali 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtu mwenye ghadhabu huchochea ugomvi,+ lakini yule ambaye hakasiriki upesi hutuliza mabishano.+