Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mwenye dhihaka hampendi mtu anayemkaripia.+ Yeye hataenda kwa watu wenye hekima.+

  • Mhubiri 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Roho ya mtawala ikiinuka juu yako, usiondoke mahali pako,+ kwa maana utulivu wenyewe hutuliza dhambi kubwa.+

  • 1 Petro 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana kuna sifa gani katika jambo ikiwa mnapofanya dhambi na kupigwa makofi, mnavumilia?+ Lakini ikiwa, mnapotenda mema na kuteseka,+ mnavumilia, jambo hilo ni lenye kukubalika kwa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki