Zaburi 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa nini mwovu amekosa kumheshimu Mungu?+Amesema katika moyo wake: “Wewe hutatoza hesabu.”+ Yeremia 27:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Yehova ameniambia hivi, ‘Jitengenezee pingu na nira,+ nawe uziweke juu ya shingo yako.+