Yeremia 27:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Yehova ameniambia hivi, ‘Jitengenezee pingu na nira,+ nawe uziweke juu ya shingo yako.+ Yeremia 28:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo Hanania nabii akaichukua ile nira kutoka shingoni mwa Yeremia nabii na kuivunja.+