5 “Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Kama hizi tini nzuri, ndivyo nitakavyowaona kwa njia nzuri+ wale wahamishwa wa Yuda, ambao nitawapeleka kutoka mahali hapa mpaka katika nchi ya Wakaldayo.+
10 Ee binti Sayuni, uwe na maumivu makali na utaabike, kama mwanamke anayezaa,+ maana sasa utaenda kutoka katika mji, nawe utakaa katika shamba.+ Nawe utaenda mpaka Babiloni.+ Huko utakombolewa.+ Huko Yehova atakununua kutoka mkononi mwa adui zako.+