Yeremia 29:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘Kwa maana mimi najua vema mawazo ninayofikiria kuwaelekea ninyi,’+ asema Yehova, ‘mawazo ya amani, wala si ya msiba,+ ili kuwapa ninyi wakati ujao na tumaini.+
11 “‘Kwa maana mimi najua vema mawazo ninayofikiria kuwaelekea ninyi,’+ asema Yehova, ‘mawazo ya amani, wala si ya msiba,+ ili kuwapa ninyi wakati ujao na tumaini.+