Yeremia 36:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kisha wakaingia kwa mfalme, kwenye ua,+ nao wakakiweka kile kitabu cha kukunjwa katika chumba cha kulia chakula+ cha Elishama+ mwandishi; nao wakaanza kusema maneno yale yote masikioni mwa mfalme.
20 Kisha wakaingia kwa mfalme, kwenye ua,+ nao wakakiweka kile kitabu cha kukunjwa katika chumba cha kulia chakula+ cha Elishama+ mwandishi; nao wakaanza kusema maneno yale yote masikioni mwa mfalme.