Yeremia 26:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini Mfalme Yehoyakimu akatuma watu Misri, Elnathani mwana wa Akbori+ na watu wengine pamoja naye mpaka Misri. Yeremia 36:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na hata Elnathani+ na Delaya+ na Gemaria+ wakamsihi mfalme asiteketeze kile kitabu cha kukunjwa, lakini hakuwasikiliza.+
22 Lakini Mfalme Yehoyakimu akatuma watu Misri, Elnathani mwana wa Akbori+ na watu wengine pamoja naye mpaka Misri.
25 Na hata Elnathani+ na Delaya+ na Gemaria+ wakamsihi mfalme asiteketeze kile kitabu cha kukunjwa, lakini hakuwasikiliza.+