10 Na Baruku akaanza kusoma kwa sauti katika kile kitabu maneno ya Yeremia kwenye nyumba ya Yehova, ndani ya chumba cha kulia chakula+ cha Gemaria+ mwana wa Shafani+ mwandikaji,+ katika ua wa juu, kwenye mwingilio wa lango jipya la nyumba ya Yehova,+ masikioni mwa watu wote.