Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 22:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Baadaye Hilkia+ kuhani mkuu akamwambia Shafani+ mwandishi:+ “Nimepata kile kitabu chenyewe cha sheria+ katika nyumba ya Yehova.” Basi Hilkia akampa Shafani kile kitabu, naye akaanza kukisoma.

  • Yeremia 39:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 naam, waliwatuma watu na kumchukua Yeremia kutoka katika Ua wa Walinzi+ na kumtia mkononi mwa Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani,+ ili amlete katika nyumba yake, ili akae katikati ya watu.

  • Ezekieli 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na wanaume 70+ wazee wa nyumba ya Israeli, pamoja na Yaazania mwana wa Shafani+ akiwa amesimama kati yao, walikuwa wamesimama mbele ya hiyo, kila mmoja akiwa na chetezo chake mkononi mwake, na manukato ya wingu la uvumba yalikuwa yakipaa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki