10 Kisha Baruku akasoma kwa sauti maneno ya Yeremia yaliyokuwa katika kile kitabu cha kukunjwa kwenye nyumba ya Yehova, katika chumba cha Gemaria+ mwana wa Shafani+ mwandishi, katika ua wa juu, kwenye njia inayoelekea kwenye lango jipya la nyumba ya Yehova,+ watu wote wakisikia.