Ezra 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 huyo Ezra alitoka Babiloni; naye alikuwa mwandikaji stadi+ katika sheria ya Musa,+ ambayo Yehova Mungu wa Israeli alikuwa ametoa, hata mfalme akampa maombi yake yote, kulingana na mkono wa Yehova Mungu wake juu yake.+ Zaburi 45:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Moyo wangu umesisimuka kwa sababu ya jambo jema.+Ninasema: “Kazi zangu zinamhusu mfalme.”+Ulimi wangu na uwe kalamu+ ya mwandikaji stadi.+
6 huyo Ezra alitoka Babiloni; naye alikuwa mwandikaji stadi+ katika sheria ya Musa,+ ambayo Yehova Mungu wa Israeli alikuwa ametoa, hata mfalme akampa maombi yake yote, kulingana na mkono wa Yehova Mungu wake juu yake.+
45 Moyo wangu umesisimuka kwa sababu ya jambo jema.+Ninasema: “Kazi zangu zinamhusu mfalme.”+Ulimi wangu na uwe kalamu+ ya mwandikaji stadi.+