Yeremia 38:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Ebed-meleki Mwethiopia,+ mtu aliyekuwa towashi na aliyekuwa katika nyumba ya mfalme, akasikia kwamba walikuwa wamemtia Yeremia ndani ya tangi; na mfalme alikuwa ameketi katika Lango la Benyamini.+
7 Na Ebed-meleki Mwethiopia,+ mtu aliyekuwa towashi na aliyekuwa katika nyumba ya mfalme, akasikia kwamba walikuwa wamemtia Yeremia ndani ya tangi; na mfalme alikuwa ameketi katika Lango la Benyamini.+