16 “Nenda, umwambie Ebed-meleki+ Mwethiopia, ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Tazama, ninayatimiza maneno yangu juu ya jiji hili kuwe msiba wala si mema,+ nayo hakika yatatimia mbele yako katika siku ile.”’+
27 Ndipo akaondoka akaenda, na, tazama! towashi+ Mwethiopia,+ mwanamume aliye na mamlaka chini ya Kandake malkia wa Waethiopia, na ambaye alikuwa juu ya hazina yote ya malkia. Huyo alikuwa ameenda Yerusalemu kuabudu,+