Yeremia 26:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na makuhani na manabii wakaanza kuwaambia wakuu na watu wote: “Mtu huyu anastahili hukumu ya kifo,+ kwa sababu ametoa unabii kulihusu jiji hili kama mlivyosikia kwa masikio yenu wenyewe.”+
11 Na makuhani na manabii wakaanza kuwaambia wakuu na watu wote: “Mtu huyu anastahili hukumu ya kifo,+ kwa sababu ametoa unabii kulihusu jiji hili kama mlivyosikia kwa masikio yenu wenyewe.”+