Yeremia 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Je, ubaya unapaswa kulipwa badala ya wema?+ Kwa maana wameichimbia nafsi yangu shimo.+ Ukumbuke kusimama kwangu mbele zako ili kusema mema kuwahusu wao, ili kuigeuza ghadhabu yako iondoke kwao.+ Mathayo 26:66 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 66 Mnaonaje?” Wakamjibu: “Anastahili kufa.”+
20 Je, ubaya unapaswa kulipwa badala ya wema?+ Kwa maana wameichimbia nafsi yangu shimo.+ Ukumbuke kusimama kwangu mbele zako ili kusema mema kuwahusu wao, ili kuigeuza ghadhabu yako iondoke kwao.+