Mambo ya Walawi 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo lazima yule mtukanaji wa jina la Yehova auawe.+ Lazima kusanyiko lote limpige kwa mawe. Mkaaji mgeni hali kadhalika mwenyeji atauawa kwa kulitukana lile Jina.+ Yohana 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wayahudi wakamjibu: “Sisi tuna sheria,+ na kulingana na sheria anapaswa kufa, kwa sababu alijifanya mwenyewe kuwa mwana wa Mungu.”+
16 Kwa hiyo lazima yule mtukanaji wa jina la Yehova auawe.+ Lazima kusanyiko lote limpige kwa mawe. Mkaaji mgeni hali kadhalika mwenyeji atauawa kwa kulitukana lile Jina.+
7 Wayahudi wakamjibu: “Sisi tuna sheria,+ na kulingana na sheria anapaswa kufa, kwa sababu alijifanya mwenyewe kuwa mwana wa Mungu.”+