63 Lakini Yesu akaendelea kukaa kimya.+ Kwa hiyo kuhani mkuu akamwambia: “Kwa Mungu aliye hai ninakuweka chini ya kiapo+ utuambie kama wewe ndiye Kristo+ Mwana wa Mungu!”
18 Kwa kweli, kwa sababu hiyo Wayahudi wakaanza kutafuta hata zaidi kumuua,+ kwa sababu si kwamba tu alikuwa akiivunja Sabato bali pia alikuwa akimwita Mungu Baba+ yake mwenyewe, akijifanya mwenyewe kuwa sawa+ na Mungu.