Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:63
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 Lakini Yesu akaendelea kukaa kimya.+ Kwa hiyo kuhani mkuu akamwambia: “Kwa Mungu aliye hai ninakuweka chini ya kiapo+ utuambie kama wewe ndiye Kristo+ Mwana wa Mungu!”

  • Yohana 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa kweli, kwa sababu hiyo Wayahudi wakaanza kutafuta hata zaidi kumuua,+ kwa sababu si kwamba tu alikuwa akiivunja Sabato bali pia alikuwa akimwita Mungu Baba+ yake mwenyewe, akijifanya mwenyewe kuwa sawa+ na Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki