Yeremia 41:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo Ishmaeli mwana wa Nethania na wale watu kumi waliokuwa pamoja naye wakasimama, wakampiga kwa upanga Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani.+ Kwa hiyo akamuua mtu ambaye mfalme wa Babiloni alikuwa amemweka juu ya nchi.+
2 Ndipo Ishmaeli mwana wa Nethania na wale watu kumi waliokuwa pamoja naye wakasimama, wakampiga kwa upanga Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani.+ Kwa hiyo akamuua mtu ambaye mfalme wa Babiloni alikuwa amemweka juu ya nchi.+