8 Kisha watu wote wakajibu kwa pamoja na kusema: “Yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kuyafanya.”+ Mara moja Musa akarudi na kumwambia Yehova maneno ya watu.+
27 Wewe mwenyewe nenda karibu, usikie yote ambayo Yehova Mungu wetu atasema; nawe ndiye utakayesema nasi yote ambayo Yehova Mungu wetu atasema nawe,+ nasi hakika tutasikiliza na kuyatenda.’