Yeremia 24:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nami nitatuma juu yao upanga,+ njaa+ na tauni,+ mpaka waufikie mwisho wao kutoka katika nchi niliyowapa wao na mababu zao.”’”+ Yeremia 42:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na sasa jueni hakika kwamba kwa upanga,+ kwa njaa na kwa tauni mtakufa katika mahali pale panapowapendeza ninyi kuingia ili kukaa mkiwa wageni.”+
10 Nami nitatuma juu yao upanga,+ njaa+ na tauni,+ mpaka waufikie mwisho wao kutoka katika nchi niliyowapa wao na mababu zao.”’”+
22 Na sasa jueni hakika kwamba kwa upanga,+ kwa njaa na kwa tauni mtakufa katika mahali pale panapowapendeza ninyi kuingia ili kukaa mkiwa wageni.”+