Ayubu 21:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao wanamwambia Mungu wa kweli, ‘Tuondokee!+Nasi hatujaona upendezi wowote katika kuzijua njia zako.+ Zaburi 73:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Tazama! Hao ndio waovu waliostarehe mpaka wakati usio na kipimo.+Wameongeza mali yao.+
14 Nao wanamwambia Mungu wa kweli, ‘Tuondokee!+Nasi hatujaona upendezi wowote katika kuzijua njia zako.+