Ayubu 22:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ambao wanamwambia Mungu wa kweli: ‘Tuondokee!+Na Mweza-Yote anaweza kutimiza nini juu yetu?’ Zaburi 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yeye amesema katika moyo wake:+ “Mungu amesahau.+Ameuficha uso wake.+Hakika hatauona kamwe.”+ Zaburi 73:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao wamesema: “Mungu amepataje kujua?+Na je, Aliye Juu Zaidi ana ujuzi?”+