Yeremia 11:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana miungu yako imekuwa mingi kama majiji yako, Ee Yuda;+ nanyi mmeweka madhabahu nyingi kama barabara za Yerusalemu kwa ajili ya kile kitu cha aibu,+ madhabahu za kumfukizia Baali moshi wa dhabihu.’+ Ezekieli 16:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 ulijijengea kilima na kujifanyia kilele katika kila kiwanja cha watu wote.+
13 Kwa maana miungu yako imekuwa mingi kama majiji yako, Ee Yuda;+ nanyi mmeweka madhabahu nyingi kama barabara za Yerusalemu kwa ajili ya kile kitu cha aibu,+ madhabahu za kumfukizia Baali moshi wa dhabihu.’+