Hesabu 21:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa hiyo na tuwapige mishale.Hakika Heshboni ataangamia mpaka Diboni,+Nao wanawake mpaka Nofa, wanaume mpaka Medeba.”+ Yoshua 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Heshboni+ na miji yake yote+ iliyo katika nchi tambarare ya juu, Diboni+ na Bamoth-baali+ na Beth-baal-meoni,+ Isaya 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ameenda mpaka juu kwenye Ile Nyumba na mpaka Diboni,+ mpaka mahali pa juu, kwenye kilio. Moabu inapiga mayowe juu ya Nebo+ na juu ya Medeba.+ Pana upara+ juu ya vichwa vyote ndani yake; ndevu zote zimenyolewa.
30 Kwa hiyo na tuwapige mishale.Hakika Heshboni ataangamia mpaka Diboni,+Nao wanawake mpaka Nofa, wanaume mpaka Medeba.”+
17 Heshboni+ na miji yake yote+ iliyo katika nchi tambarare ya juu, Diboni+ na Bamoth-baali+ na Beth-baal-meoni,+
2 Ameenda mpaka juu kwenye Ile Nyumba na mpaka Diboni,+ mpaka mahali pa juu, kwenye kilio. Moabu inapiga mayowe juu ya Nebo+ na juu ya Medeba.+ Pana upara+ juu ya vichwa vyote ndani yake; ndevu zote zimenyolewa.