Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 21:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kwa hiyo na tuwapige mishale.

      Hakika Heshboni ataangamia mpaka Diboni,+

      Nao wanawake mpaka Nofa, wanaume mpaka Medeba.”+

  • Yoshua 13:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Heshboni+ na miji yake yote+ iliyo katika nchi tambarare ya juu, Diboni+ na Bamoth-baali+ na Beth-baal-meoni,+

  • Isaya 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ameenda mpaka juu kwenye Ile Nyumba na mpaka Diboni,+ mpaka mahali pa juu, kwenye kilio. Moabu inapiga mayowe juu ya Nebo+ na juu ya Medeba.+ Pana upara+ juu ya vichwa vyote ndani yake; ndevu zote zimenyolewa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki