23 Naye Sihoni hakumruhusu Israeli apite katikati ya eneo lake,+ bali Sihoni akawakusanya watu wake wote na kwenda kukutana na Israeli nyikani, naye akaja kule Yahazi+ na kuanza kupigana na Israeli.
20 Naye Sihoni hakuwaamini Israeli kwamba wavukie katika eneo lake, na Sihoni akakusanya watu wake wote pamoja, akapiga kambi katika Yahazi,+ wakapigana na Israeli.+
4 Na Heshboni na Eleale+ yanalia. Sauti yao imesikika mpaka Yahazi.+ Ndiyo sababu watu wenye silaha wa Moabu wanaendelea kupaaza sauti. Nafsi yake imetetemeka ndani yake.