Zaburi 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yeye atawanyeshea waovu mitego, moto na kiberiti+Na upepo wenye kuunguza, vikiwa fungu la kikombe chao.+ Isaya 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Hofu na shimo na mtego ziko juu yako, wewe mkaaji wa nchi.+
6 Yeye atawanyeshea waovu mitego, moto na kiberiti+Na upepo wenye kuunguza, vikiwa fungu la kikombe chao.+