Ayubu 41:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hakuna aliye na ushupavu kiasi cha kumwamsha.Na ni nani ambaye anaweza kusimama mbele zangu?+ Zaburi 76:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wewe—ni mwenye kuogopesha,+Na ni nani anayeweza kusimama mbele zako kwa sababu ya nguvu za hasira yako?+ Nahumu 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ni nani anayeweza kusimama mbele ya shutuma zake?+ Ni nani anayeweza kusimama mbele ya joto la hasira yake?+ Ghadhabu yake mwenyewe itamwagwa kama moto,+ nayo miamba itabomolewa kwa sababu yake.
7 Wewe—ni mwenye kuogopesha,+Na ni nani anayeweza kusimama mbele zako kwa sababu ya nguvu za hasira yako?+
6 Ni nani anayeweza kusimama mbele ya shutuma zake?+ Ni nani anayeweza kusimama mbele ya joto la hasira yake?+ Ghadhabu yake mwenyewe itamwagwa kama moto,+ nayo miamba itabomolewa kwa sababu yake.