Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 41:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hakuna aliye na ushupavu kiasi cha kumwamsha.

      Na ni nani ambaye anaweza kusimama mbele zangu?+

  • Zaburi 76:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wewe—ni mwenye kuogopesha,+

      Na ni nani anayeweza kusimama mbele zako kwa sababu ya nguvu za hasira yako?+

  • Nahumu 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ni nani anayeweza kusimama mbele ya shutuma zake?+ Ni nani anayeweza kusimama mbele ya joto la hasira yake?+

      Ghadhabu yake mwenyewe itamwagwa kama moto,+ nayo miamba itabomolewa kwa sababu yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki