Isaya 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Nami nitamfanya kuwa makao ya nungunungu na madimbwi ya maji yenye matete, nami nitamfagia kwa ufagio wa maangamizi,”+ asema Yehova wa majeshi.
23 “Nami nitamfanya kuwa makao ya nungunungu na madimbwi ya maji yenye matete, nami nitamfagia kwa ufagio wa maangamizi,”+ asema Yehova wa majeshi.