Isaya 66:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana, kama moto, Yehova atabishana na wote wenye mwili, ndiyo, akiwa na upanga wake;+ na waliouawa wa Yehova hakika watakuwa wengi.+ Yeremia 50:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Neno ambalo Yehova alisema kuhusu Babiloni,+ kuhusu nchi ya Wakaldayo,+ kupitia Yeremia nabii:
16 Kwa maana, kama moto, Yehova atabishana na wote wenye mwili, ndiyo, akiwa na upanga wake;+ na waliouawa wa Yehova hakika watakuwa wengi.+