Zaburi 89:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana ni nani kule angani anayeweza kulinganishwa na Yehova?+Ni nani anayeweza kufanana na Yehova kati ya wana wa Mungu?+ Isaya 40:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nanyi mnaweza kumfananisha Mungu na nani,+ nanyi mnaweza kuweka kando yake mfano gani?+
6 Kwa maana ni nani kule angani anayeweza kulinganishwa na Yehova?+Ni nani anayeweza kufanana na Yehova kati ya wana wa Mungu?+