2 Samweli 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na Mefiboshethi alikuwa anakaa katika Yerusalemu, kwa maana alikuwa akila sikuzote mezani pa mfalme;+ naye alikuwa amelemaa miguu yote miwili.+ 1 Wafalme 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Nawe uwaonyeshe fadhili zenye upendo wana wa Barzilai+ Mgileadi, nao wawe kati ya wale wanaokula mezani pako;+ kwa maana hivyo ndivyo walivyonikaribia+ wakati nilipokimbia mbele ya Absalomu ndugu yako.+
13 Na Mefiboshethi alikuwa anakaa katika Yerusalemu, kwa maana alikuwa akila sikuzote mezani pa mfalme;+ naye alikuwa amelemaa miguu yote miwili.+
7 “Nawe uwaonyeshe fadhili zenye upendo wana wa Barzilai+ Mgileadi, nao wawe kati ya wale wanaokula mezani pako;+ kwa maana hivyo ndivyo walivyonikaribia+ wakati nilipokimbia mbele ya Absalomu ndugu yako.+