Isaya 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na Yehova anasema: “Kwa sababu binti za Sayuni wamekuwa na majivuno, nao wanatembea shingo zao zikiwa zimenyooshwa na kutupa macho yao kwa kutamani, wanatembea kwa hatua fupifupi, na kwa miguu yao wanatoa milio ya kengele,+
16 Na Yehova anasema: “Kwa sababu binti za Sayuni wamekuwa na majivuno, nao wanatembea shingo zao zikiwa zimenyooshwa na kutupa macho yao kwa kutamani, wanatembea kwa hatua fupifupi, na kwa miguu yao wanatoa milio ya kengele,+