49 Tazama! Hili ndilo lililokuwa kosa la Sodoma dada yako: Yeye pamoja na miji yake ya kandokando+ walikuwa na kiburi,+ utoshelevu wa mkate+ na ukosefu wa wasiwasi+ wa kukaa bila usumbufu, naye hakuutia nguvu mkono wa mwenye kuteseka na aliye maskini.+