Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 19:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nao wakajibu wakasema: “Toka hapa!” Nao wakaongeza hivi: “Mtu huyu aliye peke yake alikuja hapa kukaa akiwa mgeni+ na sasa anajifanya kuwa mwamuzi.+ Sasa sisi tutakutendea wewe vibaya zaidi kuliko wao.” Nao wakaja wakisongamana kwa nguvu juu ya huyo mwanamume,+ juu ya Loti, na walikuwa wakikaribia kuuvunja mlango.+

  • Methali 16:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kila mtu mwenye kiburi moyoni ni chukizo kwa Yehova.+ Mkono unaweza kuungana na mkono, hata hivyo mtu hatakosa adhabu.+

  • Methali 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kiburi hutangulia kuanguka,+ na roho ya majivuno hutangulia kujikwaa.+

  • Methali 21:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Macho yenye majivuno na moyo wa kiburi,+ taa ya waovu, ni dhambi.+

  • Yakobo 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini sasa mnajivunia kujigamba kwenu kwa kujidai.+ Majivuno yote ya namna hiyo ni maovu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki