Mwanzo 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi Loti akainua macho yake na kuona Wilaya yote ya Yordani,+ kwamba yote ilikuwa eneo lililokuwa na maji mengi kabla Yehova hajaharibu Sodoma na Gomora, kama bustani ya Yehova,+ kama nchi ya Misri mpaka Soari.+ Kumbukumbu la Torati 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Utakapokuwa umekula na kushiba,+ wewe pia unapaswa kumbariki+ Yehova Mungu wako kwa ajili ya mema ya nchi ambayo amekupa.+ Kumbukumbu la Torati 32:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yeshuruni+ alipoanza kunenepa, ndipo akapiga teke.+Umepata mafuta, umekuwa mnene, umeshiba mno.+Basi akamwacha Mungu, aliyemfanya,+Na kumdharau Mwamba+ wa wokovu wake. Methali 30:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 nisije nikashiba nikakukana,+ nikasema: “Yehova ni nani?”+ wala nisiwe maskini, nikaiba na kulishambulia jina la Mungu wangu.+ Luka 12:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Hivyo ndivyo huwa kwa mtu anayejikusanyia mwenyewe hazina lakini si tajiri kwa Mungu.”+
10 Basi Loti akainua macho yake na kuona Wilaya yote ya Yordani,+ kwamba yote ilikuwa eneo lililokuwa na maji mengi kabla Yehova hajaharibu Sodoma na Gomora, kama bustani ya Yehova,+ kama nchi ya Misri mpaka Soari.+
10 “Utakapokuwa umekula na kushiba,+ wewe pia unapaswa kumbariki+ Yehova Mungu wako kwa ajili ya mema ya nchi ambayo amekupa.+
15 Yeshuruni+ alipoanza kunenepa, ndipo akapiga teke.+Umepata mafuta, umekuwa mnene, umeshiba mno.+Basi akamwacha Mungu, aliyemfanya,+Na kumdharau Mwamba+ wa wokovu wake.
9 nisije nikashiba nikakukana,+ nikasema: “Yehova ni nani?”+ wala nisiwe maskini, nikaiba na kulishambulia jina la Mungu wangu.+