Mathayo 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Badala yake, jiwekeeni hazina mbinguni,+ ambako nondo na kutu havili,+ na ambako wezi hawavunji na kuiba. 1 Timotheo 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 wafanye mema,+ wawe matajiri katika matendo mazuri,+ wawe wakarimu, tayari kushiriki,+ Yakobo 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Sikilizeni, ndugu zangu wapendwa. Mungu alichagua walio maskini+ kwa habari ya ulimwengu ili wawe matajiri+ katika imani na warithi wa ufalme, aliowaahidi wale wanaompenda,+ sivyo?
20 Badala yake, jiwekeeni hazina mbinguni,+ ambako nondo na kutu havili,+ na ambako wezi hawavunji na kuiba.
5 Sikilizeni, ndugu zangu wapendwa. Mungu alichagua walio maskini+ kwa habari ya ulimwengu ili wawe matajiri+ katika imani na warithi wa ufalme, aliowaahidi wale wanaompenda,+ sivyo?