Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 19:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yesu akamwambia: “Ikiwa unataka kuwa mkamilifu, nenda ukauze mali zako na uwape maskini nawe utakuwa na hazina mbinguni,+ kisha uje uwe mfuasi wangu.”+

  • Marko 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yesu akamtazama akampenda na kumwambia: “Umekosa jambo moja: Nenda, ukauze vitu ulivyo navyo uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni, kisha uje uwe mfuasi wangu.”+

  • Luka 12:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Uzeni+ mali yenu na mtoe zawadi za rehema.+ Jifanyieni wenyewe mikoba ambayo haichakai, hazina isiyopungua kamwe katika mbingu,+ ambapo mwizi hakaribii wala nondo hali.

  • Luka 18:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Baada ya kusikia hilo, Yesu akamwambia: “Bado kuna jambo moja unalokosa: Uza vitu vyote ulivyo navyo uwagawie maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha uje uwe mfuasi wangu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki