Ezekieli 22:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, je, utahukumu,+ je, utahukumu lile jiji lenye hatia ya damu+ na kulifanya lijue machukizo yake yote?+ Malaki 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Lakini ni nani atakayeistahimili siku ya kuja kwake,+ naye ni nani atakayesimama wakati atakapoonekana?+ Kwa maana atakuwa kama moto wa msafishaji+ na kama sabuni+ ya wafuaji wa nguo.+
2 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, je, utahukumu,+ je, utahukumu lile jiji lenye hatia ya damu+ na kulifanya lijue machukizo yake yote?+
2 “Lakini ni nani atakayeistahimili siku ya kuja kwake,+ naye ni nani atakayesimama wakati atakapoonekana?+ Kwa maana atakuwa kama moto wa msafishaji+ na kama sabuni+ ya wafuaji wa nguo.+