15 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, Mtakatifu wa Israeli,+ amesema hivi: “Mkirudi na kupumzika mtaokolewa. Nguvu zenu zitakuwa tu katika kukaa bila usumbufu na katika kutegemea.”+ Lakini hamkutaka.+
14 Osha moyo wako uwe safi kutokana na ubaya mtupu, Ee Yerusalemu, ili upate kuokolewa.+ Fikira zako zenye makosa zitakaa ndani yako mpaka wakati gani?+