23 Ole wao wanawake wenye mimba na wale wanaonyonyesha mtoto mchanga katika siku hizo!+ Kwa maana kutakuwa na uhitaji mkubwa juu ya nchi na ghadhabu juu ya watu hawa;
29 kwa sababu, tazameni! siku zinakuja ambapo watu watasema, ‘Wenye furaha ni wanawake walio tasa, na matumbo ya uzazi ambayo hayakuzaa na maziwa ambayo hayakunyonyesha!’+