Yeremia 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nami nitapigana nanyi+ kwa mkono ulionyooshwa na kwa mkono wenye nguvu na kwa hasira na kwa ghadhabu na kwa ukali mkubwa.+ Ezekieli 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na mimi mwenyewe pia nitachukua hatua katika ghadhabu.+ Jicho langu halitasikitika, wala sitakuwa na huruma.+ Nao hakika wataita masikioni mwangu kwa sauti kubwa, lakini sitawasikia.”+
5 Nami nitapigana nanyi+ kwa mkono ulionyooshwa na kwa mkono wenye nguvu na kwa hasira na kwa ghadhabu na kwa ukali mkubwa.+
18 Na mimi mwenyewe pia nitachukua hatua katika ghadhabu.+ Jicho langu halitasikitika, wala sitakuwa na huruma.+ Nao hakika wataita masikioni mwangu kwa sauti kubwa, lakini sitawasikia.”+