Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 27:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na kwa kila sehemu ya kumi ya mifugo na ya kundi, kila kitu ambacho hupita chini ya bakora,+ kichwa cha kumi kitakuwa kitu kitakatifu kwa Yehova.

  • Yeremia 33:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “‘Katika majiji ya eneo lenye milima, katika majiji ya nchi ya chini,+ na katika majiji ya kusini,+ na katika nchi ya Benyamini,+ na katika mazingira ya Yerusalemu,+ na katika majiji ya Yuda,+ bado makundi yatapita chini ya mikono ya mtu anayehesabu,’+ Yehova amesema.”

  • Ezekieli 34:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “ ‘Nanyi kondoo zangu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama, ninahukumu kati ya kondoo na kondoo, kati ya kondoo-dume na mbuzi-dume.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki