12 Lakini wao nao, hawajapata kujua fikira za Yehova, wala hawajapata kuelewa shauri lake;+ maana atawakusanya pamoja kwenye uwanja wa kupuria kama mafungu ya nafaka iliyokatwa hivi karibuni.+
30 Acheni zikue pamoja mpaka wakati wa mavuno; na katika majira ya mavuno nitawaambia wavunaji, Kwanza kusanyeni magugu na kuyafunga matita-matita ili kuyateketeza motoni,+ ndipo nendeni mkusanye ngano ghalani mwangu.’ ”+