22 Yehova amesema hivi: “Tazama! Kikundi cha watu kinakuja kutoka nchi ya kaskazini, na kuna taifa kubwa litakaloamshwa kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+
9 Urithi+ wangu kwangu ni kama ndege mwenye kuwinda wa rangi nyingi;+ ndege wenye kuwinda wamezunguka pande zote juu yake. Njooni, kusanyikeni pamoja, ninyi nyote wanyama wa mwituni; waleteni ili wale.+