Ezekieli 23:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nao wakaanza kufanya ukahaba katika Misri.+ Wakati wa ujana wao walifanya ukahaba.+ Huko maziwa yao yalifinywa-finywa,+ na huko walivibana vifua vya ubikira wao. Ezekieli 23:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa hiyo nilimtia mkononi mwa wale wanaompenda kwa tamaa,+ mkononi mwa wana wa Ashuru, ambao alikuwa na uchu kuwaelekea.+
3 Nao wakaanza kufanya ukahaba katika Misri.+ Wakati wa ujana wao walifanya ukahaba.+ Huko maziwa yao yalifinywa-finywa,+ na huko walivibana vifua vya ubikira wao.
9 Kwa hiyo nilimtia mkononi mwa wale wanaompenda kwa tamaa,+ mkononi mwa wana wa Ashuru, ambao alikuwa na uchu kuwaelekea.+