Kumbukumbu la Torati 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo Israeli wote watasikia na kuogopa, nao hawatafanya tena jambo lolote kama jambo hilo baya kati yako.+ 2 Petro 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 na kwa kuyageuza majiji ya Sodoma na Gomora kuwa majivu aliyahukumia adhabu,+ akiweka kielelezo kwa watu wasiomwogopa Mungu juu ya mambo yatakayokuja;+
11 Ndipo Israeli wote watasikia na kuogopa, nao hawatafanya tena jambo lolote kama jambo hilo baya kati yako.+
6 na kwa kuyageuza majiji ya Sodoma na Gomora kuwa majivu aliyahukumia adhabu,+ akiweka kielelezo kwa watu wasiomwogopa Mungu juu ya mambo yatakayokuja;+