8 “Na, tazama! nitaweka kamba+ juu yako ili usijigeuze kutoka upande wako mmoja mpaka upande wako mwingine, mpaka utakapokuwa umezitimiza siku za kuzingira kwako.
18 Kwa kweli kabisa ninakuambia, Ulipokuwa kijana, ulikuwa ukijifunga kiuno na kutembea huku na huku kokote ulikotaka. Lakini utakapozeeka utanyoosha mikono yako na mtu mwingine atakufunga kiuno+ na kukupeleka usikotaka wewe.”+